Kazi Za Christopher Mwashinga, Juzuu YA III - Jr Christopher Mwashinga - Books -  - 9798665080109 - July 12, 2020
In case cover and title do not match, the title is correct

Kazi Za Christopher Mwashinga, Juzuu YA III

Price
HK$ 231
excl. VAT

Ordered from remote warehouse

Expected to be ready for shipping Jul 30 - Aug 11
Get notified about new Jr Christopher Mwashinga releases
Add to your iMusic wish list

Not rated yet

Mfululizo huu wa Kazi za Christopher Mwashinga una lengo la kuwafikia wasomaji wa lugha ya Kiswahili kila mahali lugha ya hiyo adhimu inapotumika. Christopher R. Mwashinga alianza kuandika kazi mbalimbali kwa lugha ya Kiswahili mwanzoni mwa miaka ya 1980. Toleo hili la mfululizo wa kazi zake za Kiswahili, linahusisha mashairi, barua na maandiko yake mengine, ikiwa ni pamoja na kazi zake za kisomi na kitaaluma zilizowahi kuchapishwa kwa Kiswahili katika vitabu, magazeti, na majarida mbalimbali. Aidha mradi huu unahusisha pia kazi zake zilizotafsiriwa toka lugha ya Kiingereza. Miongoni mwa mambo mengine, maandiko yake yaliyowekwa katika majuzuu haya yamehifadhi maarifa na historia ya muhimu inayoihusu jamii yote kwa ujumla, na kwa namna ya kipekee, jamii ya Kikristo, hasa katika ukanda wa Afrika Mashariki. Baadhi ya mambo yaliyomo katika majuzuu haya, hayajarekodiwa mahali pengine popote katika historia ya watu wa Afrika Mashariki. Ukweli huu unafanya mfululizo huu wa machapisho yake uwe wa muhimu sana katika kazi za wenyeji wa Bara la Afrika zilizochapishwa katika miongo ya hivi karibuni. Juzuu hii ya tatu inahusisha mashairi yake yaliyoandikwa katika miongo miwili ya kwanza ya karne ya ishirini na moja (2001-2020). Mashairi haya yaliandikwa katika mabara manne: Afrika, Asia, Amerika ya Kaskazini na Ulaya.

Media Books     Paperback Book   (Book with soft cover and glued back)
Released July 12, 2020
ISBN13 9798665080109
Pages 646
Dimensions 140 × 216 × 33 mm   ·   734 g
Language English  

More by Jr Christopher Mwashinga

Show all