Tell your friends about this item:
Kumtumaini Yesu Jr Christopher Mwashinga
Kumtumaini Yesu
Jr Christopher Mwashinga
Kitabu hiki, Kumtumaini Yesu, ni mkusanyiko wa mahubiri ya kusisimua yanayochochea matumaini, faraja na ukuaji kiroho kwa kila mtu--mkubwa na mdogo. Hotuba hizi za pekee zilizobadilisha maisha ya watu wengi Afrika na Amerika ya Kaskazini zimejengwa katika Biblia, Agano Jipya. Msomaji anapozisoma atapata muonjo wa kile ambacho kiliwafanya maelfu ya watu waliomsikiliza Mchungaji Christopher Mwashinga akihubiri wafurike kumsikiliza. Ni matumaini yetu kwamba msomaji atapata uzoefu mpya kabisa asomapo mahubiri haya na kufurahia utamu wa Neno la Mungu liwaongozao wanadamu katika kumjua Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo aliyemtuma (Yoh. 17:3).
| Media | Books Paperback Book (Book with soft cover and glued back) |
| Released | June 18, 2020 |
| ISBN13 | 9798664536096 |
| Pages | 206 |
| Dimensions | 152 × 229 × 12 mm · 308 g |
| Language | English |
More by Jr Christopher Mwashinga
Show allSee all of Jr Christopher Mwashinga ( e.g. Paperback Book )